KUVUJA KWA PAKACHA NAFUU KWA MCHUKUZI

Magreth Kayombo
Wisdom&Wellness Counselor

Kibo, Dar-es-Salaam

Kususia jambo linalohusu jamii au hata mtu mwingine kwa sababu ya tatizo binafsi kunaleta unafuu kwa wale wanaobakia. Kwa upande mwingine inaweza kuwa ni maneno ya kujifariji wewe mwenyewe baada ya watu kukususa.

Previous
Previous

UZURI WA MKAKASI NDANI NI KIPANDE CHA MTI

Next
Next

MTU MWENYE AIBU HUFIA UPENUNI MWA NYUMBA