WAPIGANAPO FAHARI WAWILI ZIUMIAZO NI NYASI

Christina Mande
Wisdom&Wellness Counselor
Kizinga, Dar-es-Salaam
Katika familia, kama baba na mama wanagombana kila wakati, watoto ndio wanaoteseka kwa kukosa huduma za msingi hasa kama itatokea baba na mama wanatengana/kuachana.