WAPIGANAPO FAHARI WAWILI ZIUMIAZO NI NYASI

Christina Mande
Wisdom&Wellness Counselor

Kizinga, Dar-es-Salaam

Katika familia, kama baba na mama wanagombana kila wakati, watoto ndio wanaoteseka kwa kukosa huduma za msingi hasa kama itatokea baba na mama wanatengana/kuachana.

Previous
Previous

UKIJENGA UHUSIANO NA MTU MWENYE UCHU NAWE UTAKUWA NA UCHU

Next
Next

KATIKA MAISHA KUNA KUPATA NA KUPOTEZA