
Bora Lawama Kuliko Fedheha!
Lawama ni ile hali ya mtu kulalamikiwa ama kushutumiwa kwa kukosa ushirikiano au kupuuza mambo angamizi kwenye jamii. Na fedheha ni ile hali ya kudhalilika au kuaibika kutokana na kutenda jambo lisilokubalika kwenye jamii.

MAHUSIANO MAZURI YANAYO RUHUSU MAJADILIANO
Mama Sixtha Komba (M&E Officer, TEWWY) atuelimisha juu ya umuhimu wa kuwa na uwanja wa majadiliano hasa kati ya vizazi.








BAADA YA JUA KUZAMA, WASICHANA HAWARUHUSIWI KUTOKA NYUMBANI KWAO
BAADA YA JUA KUZAMA, UNAPOANGALIA NA HUWEZI KUMTAMBUA MTU, WASICHANA HAWARUHUSIWI KUTOKA NYUMBANI KWAO


