BAADA YA JUA KUZAMA, WASICHANA HAWARUHUSIWI KUTOKA NYUMBANI KWAO

Grace Mshanga
Wisdom&Wellness Supervisor

Temeke & Ubungo, Dar-es-Salaam

Jua likizama na kiza kikianza kuingia wakati huwezi kumtambua vizuri anayekuja mbele yako, wasichana hawaruhusiwi kutoka nje ya nyumba yao. Hii inawalinda wasichana ili  wasitendewe mabaya au kuonewa na wavulana maana wakati huu wavulana huwa matembezini. Pia hii ni njia mojawapo ya kuwafundisha watoto wa kike kuwa na tabia njema.

Previous
Previous

LAITI NINGELIJUA KABLA

Next
Next

USIPOZIBA UFA UTAJENGA UKUTA