USIPOZIBA UFA UTAJENGA UKUTA

Sakina Bushiri
Wisdom&Wellness Counselor

Mangaya, Dar-es-Salaam

Usemi huu hutumika kuhimiza au kuwafunza watu kurekebisha mambo kabla hayajaharibika kabisa. Kwa mfano, nguo ikitatuka kidogo shona usiiache ichanike yote utakuja kushindwa kuirekebisha. Kwa hapa ilivyotumika ukuta ukiwa na ufa uzibe la sivyo utaanguka na kukubidi ujenge ukuta mzima.

Previous
Previous

BAADA YA JUA KUZAMA, WASICHANA HAWARUHUSIWI KUTOKA NYUMBANI KWAO

Next
Next

UKISIKIA YOWE KIMBIA KUOKOA JAHAZI