MFA MAJI HAACHI KU TAPATAPA

Christina Mande
Wisdom&Wellness Counselor

Kizinga, Dar-es-Salaam

Msemo huu huwaasa wale wote ambao wakianguka katika mipango yao usingizia mambo mengi kama watu wanamwonea wivu, wanamloga, hawampendi n.k. Hapo anaangalia alipoangukia bila kuchunguza sababu zizotuangusha ili tuzitatue na kuanza upya.

Previous
Previous

ULIMI NI PAMBO LA MDOMO

Next
Next

LAITI NINGELIJUA KABLA