HABA NA HABA HUJAZA KIBABA

Sakina Bushiri
Wisdom&Wellness Counselor

Pugu, Dar-es-Salaam

Hii hutumika kuwahimiza watu kuweka akiba, kwani kwa kuweka kidogo kodogo hatimaye utakuwa na akiba ya kutosha 

Msemo huu hutumika kuwaasa watu ambao wana tabia ya kutumia kila wapatacho bila kuweka akiba angalau kidogo. Watu wa namna hii hupata matatizo huko mbeleni kwa kukosa hata mahitaji ya msingi.

Previous
Previous

DAMU NZITO KULIKO MAJI

Next
Next

NIAMBIE RAFIKI ZAKO NI NANI, NAMI NITAKUAMBIA WEWE NI NANI