MFICHA MARADHI KIFO HUMUUMBUA

Christina Mande
Wisdom&Wellness Counselor

Kizinga, Dar-es-Salaam

Maana yake ni kama una maradhi yanayokusumbua humwambii mtu ili upate msaada wa matibabu basi mwisho wake ni kifo. Au kama una matatizo mazito na ukaamua kukaa kimya basi unaweza kuishia na msongo wa mawazo au kifo.

Previous
Previous

NDEGE MJANJA HUNASA KWENYE TUNDU BOVU

Next
Next

DAMU NZITO KULIKO MAJI