CHAKULA KIIVAPO WATOTO HUWA WANAKIZUNGUKA HARAKA, LAKINI WAKATI WA KAZI HUTOA SABABU NYINGI

Grace Mshanga
Wisdom&Wellness supervisor

Temeke & Ubungo, Dar-es-Salaam

Watoto wana kawaida kuwa chakula kinapokuwa tayari huzunguka haraka na kuanza kula lakini wakipewa kazi hufanya kwa kinyonge. Hit ni kuwafundisha watoto kuwa wakiwa katika umri mdogo waanze kujifunza kufanya kazi ndogondogo mfano, kuosha vyombo na kufagia sio kungoja chakula tu.

Previous
Previous

UMOJA NI NGUVU, UTENGANO NI UDHAIFU

Next
Next

MMOJA SHIKA SI KUMI NENDA UJE