VUNJA JUNGU HUWA ANA UWOGA, HUJIFUNGIA KUHOFU AKITOKA WATASEMA NI YEYE KAHARIBU

Paulina Ngwawasya
Wisdom&Wellness Supervisor

Ilala & Kinondoni,Dar-es-Salaam

Watu waoga huchelewa kujitokeza mbele ya watu kwa hofu kuwa watasingiziwa maovu. Hii huleta madhara makubwa katika jamii.

Previous
Previous

MWENYE KISU KIKALI NDIO MLA NYAMA ILIYONONA