KIDOLE KIMOJA HAKIVUNJI CHAWA


Paulina Ngwawasya
Wisdom&Wellness Supervisor

Ilala & Kinondoni, Dar-es-Salaam


Mwanadamu peke yako huwezi kufanikisha malengo yako katika maisha kwa kujitenga, unahitaji ushirikiano. Pia ina maana kwamba ushirikiano katika jamii ni muhimu sana kwani ushirikiano huleta maendeleo na mafanikio mazuri katika jamii au kazi. Msemo huu unatukumbusha kufanya kazi kwa ushirikiano mkubwa.

Previous
Previous

UNAPOFANYA KAZI NI ADHA TU, MAVUNO YAKIWA TAYARI NI VICHEKO

Next
Next

ASIYESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU