CHEMA CHAJIUZA, KIBAYA CHAJITEMBEZA

Rustica Tembele
Founder & CEO

Maana yake, kitu kizuri hakiihitaji matangazo, uzuri wake huonekana kwa uwazi, lakini kitu kibaya huhitaji kutangazwa na hutembezwa ili watu wakione.

Msemo huu unaweza kutumika pale mtu anapojigamba sana mbele za watu kuwa yeye ni wa hivi ama vile, lakini watu hawavioni hivyo anavyojigamba navyo bali wanamuona kama mtu wa kawaida tu.

Previous
Previous

KATIKA MAISHA KUNA KUPATA NA KUPOTEZA

Next
Next

SAMAKI MKUNJE ANGALI MBICHI