MTAKA NYINGI NASAHA, HUMKUTA MINGI MISIBA

Sakina Bushiri
Wisdom&Wellness Counselor

Mangaya, Dar-es-Salaam

Hii hutumika kuwaasa wale wanaopenda kufanya urafiki na kila mtu au kuwafanya kama ndugu zao hukutwa na misiba mingi kwani kila tatizo la mmoja wao litamhusu yeye pia.

Msemo huu unaweza kutumika kwa watu ambao wanapenda kujionyesha ni maarufu na hivyo kutaka waonekane wanashiriki kila jambo litokealo, ukweli ni kwamba siyo rahisi kuwepo kila mahali.

Previous
Previous

NJIA YA MUONGO FUPI

Next
Next

NDEGE MJANJA HUNASA KWENYE TUNDU BOVU