Atafutaye Hachoki, Akichoka Kesha Pata

Margaret Kayombo - Wisdom&Wellness Counselor (TEWWY)

Masimulizi ...

by Margaret Kayombo (Wisdom&Wellness Counselor - TEWWY).

Kwa kawaida, mtu anayekitafuta kitu huwa hachoki, huendelea kutafuta mpaka akipate. Endapo ataonyesha dalili za kuchoka basi watu husema kuwa amekwishapata kile alichokuwa akikitafuta.

Mtu mwenye bidii katika jambo hufanikiwa katika lengo lake. Kwa usemi huu tunahimizwa kuwa na juhudi au bidii katika kazi au jambo lolote tunaloshughulika nalo kama tunataka kufanikiwa. Hata kama tusipoyaona matunda ya bidii au juhudi zetu kwa muda huo tusikate tamaa kwani ipo siku tutafanikiwa tu. Mambo magumu tunayoweza kuyapitia ni sehemu ya maisha ya mwanadamu. Yatupasa kuwa na uvumilivu usio na kikomo ili hatimaye tuweze kufanikiwa katika maisha yetu.

The Healing Hands Project

The Healing Hands project will economically empower people to achieve financial autonomy by building entrepreneurial skills and embedding skills transfer within the community - eliminating poverty as a driver of ill mental health. Funds raised from the jewelry will help sustain the implementation of accessible psychosocial interventions in underserved communities and promote the economic empowerment of the grandmothers who have been trained in and are implementing WHO's mental health Gap Action Program. Healing Hands provides interpersonal counseling, group talk therapy, and psychoeducation resources delivered through arts, where clients learn to handcraft traditional beaded jewelry as a marketable skill. Follow us @TEWWYWisdom @WisdomWellnessCollection to stay up-to-date.

#MentalHealth #Grandmother #Wisdom #Wellness #mhGAP #HealingHands #Art #Culture #Tanzania

Previous
Previous

Je, Rafiki Ni Nani Katika Maisha Yako?

Next
Next

Uhusiano wa Nidhamu Binafsi na Uchumi Katika Maisha