MKWE/KIJANA ALIYEOA KWENU UTAMJUA KWA MAVAZI YAKE

Grace Mshanga
Wisdom&Wellness Supervisor

Temeke & Ubungo, Dar-es-Salaam

Mvulana aliyeoa katika familia yenu lazima awe nadhifu, aongee kwa heshima, awe na juhudi katika kazi - hivi ndivyo vitu vitakavyomtambulisha kuwa ni mkwe wenu anayefaa.

Previous
Previous

WAKATI UKUTA

Next
Next

JITAHIDI KUWA NA MARAFIKI WAZURI WENGI LAKINI AMINI WACHACHE WANAOKUFAA