Mtoto Umleavyo Ndivyo Akuavyo

Mtoto Umleavyo Ndivyo Akuavyo

Mithali hii ni ya msingi sana, kuanzia pale mtoto anapozaliwa kwani tabia ya mtu inaweza kuwa nzuri au mbaya kutegemea na alivyolelewa na kukuzwa. Mfano, kama baba anakuwa na tabia ya kufokafoka na ukali uliopitiliza kila anaporudi nyumbani, watoto wake huishi kwa kuogopa muda wao wote. Pia wanaweza wakajenga tabia ya kuwa na hofu kila wakati wanapomuona baba yao. Woga ukiwazidi pia huwafanya watoto kuwa na tabia ya uongo na hata ya unafiki. Watoto wana akili sana. Wanaweza wakaamua kuwa vile mzazi wanavyomuona anataka wawe

Read More
Kawia Ufike

Kawia Ufike

Kukawia ni kuchelewa au kutofika kwa wakati unaotakiwa. Wanaposema kawia ufike wana maana chelewa lakini ufike mahali unapotakiwa kuwa. Msemo huu unatumiwa sana na baadhi ya watu wasiojitambua na wasiokuwa na uhakika wanatakiwa wafanye nini. Sehemu za ibada ni moja za sehemu ambazo watu hutumia sana msemo huu. Wanapoutumia msemo huu kwenye masuala ya nyumba za ibada, wanakuwa na maana kuwa hata wakikawia, ili mradi watakuwa wamefika, haijalishi sana. Kwa wanaosema hivi ina maana kuwa, cha muhimu kwao ni kuonekana kuwa walikuwepo ili mradi wasieleweke vibaya

Read More
Mwamini Mungu Si Mtovu

Mwamini Mungu Si Mtovu

Alikuweko mtu mmoja na mkewe, hawakuwa na kitu, rasilimali yao kubwa ilikuwa ni kondoo na jogoo. Siku moja walipata habari kuwa rafiki yao alikuwa anakuja kuwatembelea. Mke alimwambia mume wake kuhusu ugeni huo. Alimkumhusha kwa kusema kuwa walikuwa hawana kitu chochote cha kumkirimu mgeni wao. Walichokuwa nacho ni huyo kondoo na jogoo. Lakini, mke aliongeza kuwa yeye asingependa kuwachinja wanyama wake, yaani kondoo jogoo

Read More
Kaa Mbali Na Mazoea

Kaa Mbali Na Mazoea

Maisha yetu katika ulimwengu huu ni ya vurugu kati ya mtu na mtu. Chochote mtu akifanyacho kimeanzia kwenye fikra zake. Kwa kawaida, mtu hawezi kukurupuka tu na kuanzisha kitu bila kufikiria na kupembua kama hilo jambo litawezekana ama la. Mara nyingi, tunafanya kosa kumshirikisha mtu ama watu mawazo yetu mapema mno. Inawezekana, huyo unayemshirikisha hawezi kukutia moyo ili ufanikiwe, binadamu wengi ndivyo walivyo. Wengi hupenda kukatisha tamaa wenzao na hata kunena maneno mengi ambayo yanaweza kukutoa kwenye wazo lako. 

Read More
Fikra Zako Usimshirikishe Mtu

Fikra Zako Usimshirikishe Mtu

Maisha yetu katika ulimwengu huu ni ya vurugu kati ya mtu na mtu. Chochote mtu akifanyacho kimeanzia kwenye fikra zake. Kwa kawaida, mtu hawezi kukurupuka tu na kuanzisha kitu bila kufikiria na kupembua kama hilo jambo litawezekana ama la. Mara nyingi, tunafanya kosa kumshirikisha mtu ama watu mawazo yetu mapema mno. Inawezekana, huyo unayemshirikisha hawezi kukutia moyo ili ufanikiwe, binadamu wengi ndivyo walivyo. Wengi hupenda kukatisha tamaa wenzao na hata kunena maneno mengi ambayo yanaweza kukutoa kwenye wazo lako. 

Read More
Kisa Cha Kuku Na Kanga

Kisa Cha Kuku Na Kanga

Hapo zamani kuku walikuwa ndege wa mwituni. Waliishi pamoja na kanga na ndege wengine. Basi siku moja ikaja mvua kubwa huko mwituni. Kanga akamwambia kuku, nenda kwa binadamu ukaombe moto ili tuje tuote. Baridi imezidi, ni kali sana. Kuku alitii agizo la kanga. Alienda, na alipofika kwa binadamu, alikaribishwa vizuri. Binadamu alimuuliza shida iliyompeleka hapo.

Read More