Endelea Kujaribu.

Endelea Kujaribu.

Ni kawaida kabisa kwa mtoto anapotaka kuanza kusimama kushika na kuegemea kila kitu ili kimsaidie asimame. Wakati mwingine anaweza hata kuegemea vitu vya hatari, kama vile chupa ya chai, jiko la moto na vingine vingi tu vinavyokuwa karibu yake. Kwa ujumla, anaweza kushika kitu chochote ambacho kinaweza kuwa ni cha hatari ili mradi tu asimame.

Read More
Tuwe Wastaarabu Na Busara Katika Maongezi

Tuwe Wastaarabu Na Busara Katika Maongezi

Binadamu tunatakiwa kuishi kwa kufuata taratibu fulani zilizopo kwenye jamii, hii ni pamoja na jinsi tunavyozungumza na wenzetu. Kwa maana hiyo, ukiwa mstaarabu na mwenye busara huwezi kuuliza uliza watu maswali ambayo hayastahili kuulizwa, maswali kama: ‘Bado hujaolewa tu?….Una watoto wangapi?…Utazaa lini?…Mbona umri umeenda?…na mengine mengi.

Read More